
Karibu katika Tovuti yetu:
Taasisi ya Sayansi Jamii (TASAJA) pia inajulikana kama Chama cha Wanasosholojia Tanzania, Ilianzishwa mwezi Novemba, 2013 chini ya Sheria ya Vyama (2002) na kupewa usajili SA 19074 na Ni mwanachama wa Vyama vya Wanasosholojia kimataifa kimesajiliwa mwezi Machi., 2014.
Uanachama wa chama ni wazi kwa wahitimu wote wa Sociology; kutoka taasisi ambayo inatoa digrii ya sosholojia kwa ajili ya kujifunzia; watu binafsi au Makundi ambao wapo tayarikujiunga na mkondo wake,